
Hatimaye
baraza kuu la Chadema limeridhia kusimama kwa muda kufanya kazi za
chama aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.

Ni
kishindo cha baraka za baraza kuu la Chadema likiridhia kupumzika kwa
Dk Wilibroad Slaa ambaye tangu kujiunga kwa wazir mkuu mstaafu Edward
Lowassa amekuwa haonekani katika vikao vyetu vya chama hicho, katika
ufunguzi wa mkutano wa baraza kuu la Chadema mwenyekiti wa chama hicho
taifa Freeman Mbowe amekiri kuwa licha ya Dkt Slaa kushiriki vikao
mbalimbali...
0 comments Blogger 0 Facebook
Post a Comment