Samahani sama mke wangu, mimi ni binadamu ninaweza kufa siku yoyote ile. Huyu mtoto ambaye anaonekana kuwa ni zezeta inatokana na mimi kwenda kwa mganganga ili tuwe na mali na maisha bora, hivyo hautakiwi kumnyima chakula hata siku moja kwani kwa kufanya hivyo mali tulizonazo zote zitatoweka.Mimi naelekea kwenya duka la jumla ili nikaangalie kama kuna vitu vilivyopungua



0 comments Blogger 0 Facebook

Post a Comment

 
Heka Heka Zangu © 2015. All Rights Reserved. Share on mfaume.com. Powered by mfaume.com
Top