
Katika
kila mwanadamu anayejitambua lazima atakuwa na kitu kinaitwa “core
principles.” Yani hizi ni kanuni kuu za msingi wa maisha yako ambazo
zinakupa ‘identity’ ya wewe ni nani au mtu wa namna gani! Hizi si
misingi au miiko uliyo jiwekea tuu kwasababu ya kujifurahisha, hapana!
Ni misingi na miiko unayoiyamini na hukotayari kuisimamia bila
kutetereka kwa gharama yoyote ile. Haijalishi hata kama watu wote
watakuona wewe ni mtu wa ajabu, lakini kwako itakuwa salama rohoni
mwako kwasababu hizo ni principle zako za maisha umejiwekea,
unaiyamini, na hupo teyari kuitetea mpaka kufa! “A man who stand for
nothing will fall for anything”-Malcolm X. Mtu ambaye hana msingi au
miiko katika maisha yake ni mtu ambaye hajitambu na wala hajui dhamani
yake! Nandiyo maana watu kama hawa wanaweza leo wakasimama na kutowa
kauli kali kwenye kadamunasi kama “over my dead body” lakini kesho bila
aibu wala soni usoni akafanya kile kile ambacho alikanusha kuwa hawezi
kufanya unless it’s over his / her dead body! SMH!
Misingi na miiko
mbayo mtu anajiwekea ndizo zimefanya baadhi ya watu wameitwa
“Pioneers” wa kitu fulani. Iwe kwenye siasa, imani za kidini, au mambo
ya kijamii kuna pioneers wa aina mbali mbali na watu tunawangalia kama
kioo au role-model! Watu wanao jitambua pamoja na pioneers watakwambia
kunavitu ambavyo siwezi ku-compromise hata kidogo, kwa mfano wapo wengi
atakwambia mie hata sikumoja siwezi ku-compromise my core-principles;
na moja ya misingi yao nikujali sana UTU NA HESHIMA yao! Sikuzote utu
na heshima yao vitakuja kwanza kabla ya kitu kingine chochote kile (his
/ her dignity and respect will always comes first no matter what!).
Mtu anaweza kuwa yupo teyari kuacha kila kitu kipotee hata kama
anaonewa ili kulinda utu na heshima yake. Inaweza ika-sound crazy to
other people lakini hii ndiyo miiko au misingi yake aliyojiwekea na
yupoteyari kuisimaimia kwa gharama yoyote ile.
0 comments Blogger 0 Facebook
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.